Tuesday, February 26, 2013

    TUKIO RASMI LA MSIBA WA GOLDIE.

Hatimaye msanii wa muziki na mshiriki wa BIG BROTHER AFRICA mwaka jana 2012 toka Nigeria OLUWABIMPE SUSAN GOLDIE HARVEY maarufu kama Goldie amezikwa leo kwenye makaburi ya vaults and Gardens Cemetery Ikoyi Lagos nchini Nigeria.Goldie ambaye alifariki mwezi uliopita tarehe 14 kufuatia shinikizo la damu kwenye ubongo aliletwa msibani hapo na gari aina ya Mercedez Benz R350 saa nne asubuhi. 
       Mazishi hayo ambayo yaliongozwa na aliyekuwa mme wa zamani wa Goldie Andrew Harvey yalifanyika jhuko Lagos na kuhudhuriwa na wageni waalikwa tu.
mwili wa marehemu saa chache kabla ya kuzikwa.
                                               Mme wa marehemu,Andrew Harvey akiwa katika mazishi ya mchumba na mke wake Goldie Harvey.

     mwili wa GOLDIE ukiwasili tayari kwa maziko.
                                                      
BLOGU INATOA POLE KWA WALE WOTE WALOGUSWA NA MSIBA HUU NA FAMILIA YA GOLDIE KWA UJUMLA,PUZIKA SALAMA
           REST IN PEACE GOLD HARVEY(1983-2013)
                                               

                            
                          

No comments:

Post a Comment