Thursday, March 28, 2013

TWEETS ZA NGWAIR NA CHIDY BENZI BAADA YA UGOMVI

BAADA YA UGOMVI HAYA NDO WALIONENA NGWAIR NA CHIDY BENZ.
Ngwea hakuonekana kumjibu ila aliendelea kuandika kile alichokuwa kikiendelea katika akili yake 



Ngwea ameamua ku drop charges, baada ya kufikiria na kuona bora amove on, na maisha yake 
"mi nimesha withdraw na nimeamua kumove on, ni kukaa mbali nae tu" amesema Ngwea(Habari kwa hisani ya djfetty.blog)
                  

No comments:

Post a Comment