Thursday, March 28, 2013

TANZIA;SALIM HEMED HAMIS AFARIKI

                TAARIFA YA MSIBA
                            
Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Chambani mheshimiwa Salim Hemed Hamisi amefariki dunia leo na taratibu zinafanyika za kusafirisha mwili wake kwenda kwao Pemba kwa mazishi.Blogu ya Bitteview inatoa pole kwa wale wote walofikwa na msiba huu

No comments:

Post a Comment