Kipre
Tchetche wa
Azam FC, akimtoka Prince Jetoh wa Barrack Young Controllers kwenye
mchezo wa kombe la shirikisho barani Afrika uliochezwa uwanja wa Taifa
leo ambao uliisha kwa sare ya 0-0. Azam FC wamepita kuendelea mbele
kutokana na ushindi wao 2-1 waliopata huko Liberia wiki mbili
zilizopita. (PICHA KWA HISANI YA LENZI YA MICHEZO BLOG) |
No comments:
Post a Comment