Tuesday, February 26, 2013

         MAHAFALI YANGU YA KIDATO CHA SITA2013
Namshukuru sana Mwenyezimungu mpaka hapa nilipo na kwa hatua hii kubwa niliyofikia japo ni mwanzo wa safari lakini nashukuru sana na daima namuomba Jalali aninyooshee njia ili niweze kukamilisha ndoto ambazo nimekuwa nikiziota tangu awali na kitambo,EWE JALALI NAOMBA UNISAIDIE.
                                              Pia Shukrani zangu kwa Familia yangu,Mzee BITEGEKO,mama angu kipenzi ASHA ALLEY Bila kuwasahau ndugu zangu(MWAJUA,JAY 4,AHMED DEDY,YUSUPH,ABDULRAZAC NA ASHA BITEGEKO)  wote mmekuwa mstari wa mbele kuninyooshea mkono wa kheri na kuniombea angalau nifike hapa  najivunia nyie na Mungu awabariki sana.
                    Uongozi mzima wa ROCKEN HILL ACADEMY fika na Mkurugenzi wake Mr.A.KAZIMIL kwa sapoti kubwa tangu nkiwa mdogo mpaka leo jibaba nasema Ahsante sana palipo na walimu wangu walonifundisha advance level pale Anderlek,Mr.Adam,Japhary,Matiko,Nzumbi,rafiki yangu Mr.Dotto na  kaka angu RICHARD PAUL ambao wote wameniongoza kwa niaba ya walimu wote wa Anderlek hadi nahitimu sina cha kuwapa ila Mwenyezimungu ndo mpaji.
    Nikipokea cheti changu toka kwa mgeni rasmi wa mahafali yale ndugu SASA NELIGWA meneja wa benki ya AZANIA tawi la Kahama pembeni ya mama mkurugenzi mama angu mama ANATOLIA ALEXANDER na baba angu sir.ALEXANDER KAZIMIL.
                                     
                            PAMOJA NA MZEE BITEGEKO KUONYESHA NI JINSI ANAJALI KUHUSU ELIMU YANGU,BABA NASHUKURU.
C.E.O wa DAR CLASSIC WEAR kaka AHMED BITEGEKO hakuwa nyuma kuhakikisha mi na my twin bro ALLAN  V. FUNGO tunaifanisi siku kwelikweli tunashukuru sana kaka.
                                      Ahmed Bitegeko,Bitte Jr. na mwalimu wangu wa sayansi darasa la 5 Mr.Paul.
                   
                    Mzee Bitegeko,Uncle Edwin pamoja na Bitte Jr.Nashukuru sana wazee wangu.
            ALIPO SIDE NDO YUPO DULLAH..LOVE VERY MUCH BRO
                   Utajiri wa kwanza ni kuwa na marafiki,support kubwa ya maisha yangu elder homeboy Denis a.k.a Bosh,there Side a.k.a Cassanova,JJ a.k.a Chuma and lastly Bitte the poor billionaire.


                                                                                              

No comments:

Post a Comment